Loading Events

BOOK LAUNCH

August 14 @ 4:30 pm - 7:30 pm

Venue

TPH BOOKSHOP
TPH BOOKSHOP, Dar es Salaam
Dar es salaam, Tanzania, United Republic of
+ Google Map
Google Map Link

Organizer

Mkuki na Nyota

Details

Date:
August 14
Time:
4:30 pm - 7:30 pm
Event Categories:
,

Other

Area(Town/City)
Tph Bookshop, Dar es Salaam

Mamlaka, mapenzi, usaliti na kisasi.

Jiunge nasi kwenye uzinduzi rasmi wa kitabu Sankara wa II cha @lubacha_the_author utakaofanyika TPH Bookshop, 24 Samora Avenue, kuanzia saa 10:30 jioni.

Kitabu hiki kinaelezea safari ya Meja Jenerali (MJ) mwenye ndoto kubwa za mafanikio, lakini anazama katika giza la kisasi baada ya mapenzi kuvunjika na siri nzito kufichuka.

Mahali: TPH Bookshop, 24 Samora Avenue
Muda: Saa 10:30 jioni – Saa 1:30 Usiku
Tarehe: 14/08/2025

Kitabu kitapatikana na kusainiwa na mwandishi.

#SankaraWaII #UzinduziWaKitabu #TPHBookshop #FasihiYaKiswahili #KitabuNiZawadi #WaandishiWaTanzania