USIKU WA MSHAIRI MSWAHILI- NGUMU KUMEZA!!
June 10 @ 6:00 pm

Jiunge nasi katika Usiku wa Mshairi Mswahili tukichambua simulizi za maisha, mapambano, matumaini na ushindi kupitia mashairi ya Kiswahili.
🗓 Julai 10
⏰ Saa 12 Jioni
📍 Eco Sanaa Terrace, CDEA – Mbezi Shule
🎟️ Vaa Kiswahili Kamata Kipaza
📞 +255 674 317 482
Weka nafasi yako Sasa: https://forms.gle/kWwWEYfGw9QoELmG9 (Link iko kwenye Bio)
“Wakati mwingine maisha ni ngumu kumeza, lakini sauti ya mshairi huipa roho nguvu ya kuendelea.”
GFX @jephramso
#NgumuKumeza #UsikuWaMshairiMswahili #BongoPoetry #SanaaYaMabadiliko #PoetryNight