JAM SESSION & LIVE MUSIC
NAFASI ART SPACE Nafasi Art Space, Dar es salaam, Dar Es SalaamKaa tayari kwa Wasanii tunaokuletea kwenye Lete Stori – 30 Novemba! 🌟 Dunga @officialmandugudigital : Msanii na mtayarishaji mahiri aliyechangia kwa kiasi kikubwa katika muziki wa kizazi kipya kama Bongo Fleva na Hiphop. Akitengeneza hit kama “The Bounce” akishirikiana na Joh Makini, Harmonize, na wengine, Dunga ni gwiji wa kubuni sauti za kisasa zenye ladha ya Kiafrika. […]